Mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) kati ya Simba na Ihefu utapigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi leo Ijumaa, April 07 saa 1:00 usiku badala ya kuchezwa Uwanja wa Uhuru kama ilivyotangazwa hapo awali
..... download Xtra 90 App



