Singida - Polisi - Local

Singida BS yaichapa Polisi Tanzania 3-0

Joel JJ By Joel JJ
7 Apr 2023
Singida BS yaichapa Polisi Tanzania 3-0

Jahazi la Polisi Tanzania linazidi kuzama baada ya kukubali kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Singida BS katika mchezo wa ligi kuu uliopigwa uwanja wa Liti, Singida

Mabao ya Paschal Wawa, Nickson Kibabaje na Amis Tambwe yalitosha kuihakikishia Singida BS alama tatu muhimu ambazo zinaendelea kuwaimarisha katika nafasi ya tatu kwenye msimamo wa ligi

Singida BS imefikisha alama 51 ikiwa mbele kwa alama nne dhidi ya washindani wake katika nafasi ya tatu Azam Fc wenye alama 47 kabla ya mchezo wao dhidi ya Mtibwa Sugar

Polisi Tanzania wanaendeleza kuburuza mkia katika msimamo wa ligi wakiwa na alama 19 zikiwa zimesalia mechi nne

More Stories

SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
1m ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
11h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
12h ago
READ MORE →
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE →
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
16h ago
READ MORE →
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE →
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
20h ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE →
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
21h ago
READ MORE →