Burnley - International

Kompany airejesha Burnley Ligi ya Premia

Joel JJ By Joel JJ
8 Apr 2023
Kompany airejesha Burnley Ligi ya Premia

Burnley wamefanikiwa kurejea Ligi Kuu baada ya kuifunga Middlesbrough 2-1 kwenye Uwanja wa Riverside.

Kikosi cha Vincent Kompany kimekuwa bora kwenye ligi ya Championship msimu huu, huku Clarets wakipanda daraja wakiwa na mechi saba mkononi

Na gwiji huyo wa Manchester City sasa atakuwa akilenga kutwaa taji hilo, jambo ambalo wanaonekana kulifanikisha wakiwa mbele ya Sheffield United kwa pointi 11 kabla ya mechi yao ya Jumatatu

Wachezaji hao wa Turf Moor walipewa nafasi ya kurejea kwenye ligi ya Premia baada ya Luton iliyo nafasi ya tatu kulazimishwa sare ya 0-0 ugenini dhidi ya Millwall

Walichohitaji kufanya ni kumshinda Middlesbrough ugenini, ambaye hakuwa ameonja kushindwa nyumbani tangu Michael Carrick alipoteuliwa Oktoba 22

Lakini walifanya hivyo, wakiibuka na ushindi wa mabao 2-1 katika mchezo uliokuwa na upinzani mkali

More Stories

SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
2m ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
11h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
12h ago
READ MORE →
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE →
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
16h ago
READ MORE →
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE →
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
20h ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE →
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
21h ago
READ MORE →