Simba - Local

Baleke, Robertinho washinda tuzo za Ligi Kuu March 2023

Joel JJ By Joel JJ
8 Apr 2023
Baleke, Robertinho washinda tuzo za Ligi Kuu March 2023

Kocha Mkuu wa Simba Robertinho Oliveira ameshinda tuzo ya Kocha Bora wa Ligi Kuu ya NBC kwa mwezi March 2023 wakati tuzo ya mchezaji bora ikienda kwa Jean Baleke

Katika mwezi Machi, mechi moja tu ya Ligi Kuu ilipigwa Simba ikiifumua Mtibwa Sugar mabao 3-0 Baleke akifunga hat-trik katika mchezo huo

Beleke amewashinda Daruweshi Saliboko wa KMC na Jeremiah Juma wa Tanzania Prisons

Robertinho ametwaa tuzo hiyo mbele ya Nasreddine Nabi wa Yanga na Abdallah Mohammed wa Prisons

More Stories

SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
1m ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
1h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
11h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
12h ago
READ MORE →
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
12h ago
READ MORE →
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
16h ago
READ MORE →
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
19h ago
READ MORE →
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
20h ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
20h ago
READ MORE →
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
21h ago
READ MORE →