Baleke, Robertinho washinda tuzo za Ligi Kuu March 2023

Joel JJ By Joel JJ β€’ 8th April 2023


Baleke, Robertinho washinda tuzo za Ligi Kuu March 2023

Kocha Mkuu wa Simba Robertinho Oliveira ameshinda tuzo ya Kocha Bora wa Ligi Kuu ya NBC kwa mwezi March 2023 wakati tuzo ya mchezaji bora ikienda kwa Jean Baleke

Katika mwezi Machi, mechi moja tu ya Ligi Kuu ilipigwa Simba ikiifumua Mtibwa Sugar mabao 3-0 Baleke akifunga hat-trik katika mchezo huo

Beleke amewashinda Daruweshi Saliboko wa KMC na Jeremiah Juma wa Tanzania Prisons

Robertinho ametwaa tuzo hiyo mbele ya Nasreddine Nabi wa Yanga na Abdallah Mohammed wa Prisons


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.