Yanga - Local

Yanga yaichapa Geita Gold 1-0, yatinga nusu fainali FA

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 Apr 2023
Yanga yaichapa Geita Gold 1-0, yatinga nusu fainali FA

Yanga imetinga nusu fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Geita Gold katika mchezo wa robo fainali uliopigwa uwanja wa Azam Complex

Bao pekee la Yanga katika mchezo huo lilifungwa na Fiston Mayele aliyeingia kwenye kipindi cha pili

Kipindi cha kwanza Yanga walitengeneza nafasi nyingi lakini walishindwa kuzitumia.

Mabadiliko yaliyofanywa na Kocha Cedric Kaze katika kipindi cha pili yaliinufisha Yanga

Yanga sasa imeungana na Singida BS, Azam Fc na Simba kwenye hatua ya nusu fainali

Kwenye mechi ya nusu fainali Wananchi watasafiri mkoani Singida kuwakabili Singida BS

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
25m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’