Kocha Mkuu wa Simba Robertinho Oliveira amesema pamoja na kuibuka na ushindi wa mabao 5-1 dhidi ya Ihefu Fc katika mchezo wa robo fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) uliopigwa uwanja wa Azam Complex juzi, wanatarajia kukabiliana na mechi nyingine tofauti dhidi ya Ihefu Fc huko Mbarali siku ya JUmatatu
..... download Xtra 90 App



