Liverpool - Arsenal - International

Arsenal yavutwa shati Anfield

Joel JJ By Joel JJ
β€’
9 Apr 2023
Arsenal yavutwa shati Anfield

Liverpool na Arsenal zimetoshana nguvu katika mechi ya kibabe iliyopigwa uwanja wa Anfield na kumalizika kwa matokeo ya sare ya mabao 2-2

Kikosi cha Mikel Arteta kilianza vyema na kuongoza kwa mabao mawili kupitia kwa Gabriel Martinelli na Gabriel Jesus kabla ya Mohamed Salah kurudisha bao moja kabla ya kipindi cha kwanza.

Tukio la kushangaza likaonekana wakati wa mapumziko pale mwamuzi msaidizi, Constantine Hatzidakis, alionekana kumpiga kiwiko Andrew Robertson

Kipindi cha pili, Liverpool walitawala lakini Salah alikosa penalti kabla ya Roberto Firmino kuingia akitokea benchi na kusawazisha dakika za lala salama.

Liverpool karibu washinde lakini Aaron Ramsdale aliokoa mabao mawili bora na kuwanyima Salah na Ibrahima Konate huku The Gunners wakipata pigo katika mbio za ubingwa

Arsenal sasa wako pointi sita mbele ya Manchester City, wakiwa wamecheza mechi zaidi.

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
1h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
1h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
2h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
5h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
9h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
9h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
10h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
11h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
12h ago
READ MORE β†’