Viingilio Simba vs Yanga vyatangazwa

Joel JJ By Joel JJ β€’ 12th April 2023


Viingilio Simba vs Yanga vyatangazwa

Jumapili April 16th Simba watakuwa wenyeji wa mtanange wa watani wa jadi utakaopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam

Bodi ya Ligi imetangaza viingilio vya mchezo huo ambao utapigwa saa 11 jioni


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.