Manchester United - International

Majeraha kumuweka nje Rashford

Joel JJ By Joel JJ
β€’
12 Apr 2023
Majeraha kumuweka nje Rashford

Manchester United wametikiswa na uwezekano wa kuumia kwa Marcus Rashford huku mbio za kutinga hatua ya nne bora zikizidi kupamba moto.

United wameandikisha ushindi mfululizo dhidi ya Brentford na Everton na kuongeza nafasi zao za kufuzu Ligi ya Mabingwa, lakini inaonekana wamewapoteza Luke Shaw na Rashford kutokana na majeraha

Mshambuliaji huyo amepata jeraha la paja na anatarajiwa kuwa nje kwa wiki kadhaa. 

Rashford alipata majeraha hayo katika ushindi wa 2-0 wa United dhidi ya Everton siku ya Jumamosi

Tayari ameondolewa kwenye mechi ya Alhamisi ya robo fainali ya Ligi ya Europa dhidi ya Sevilla na klabu hiyo inatarajia kuwa Rashford atakuwa nje ya uwanja kwa wiki chache

"Tathmini ya jeraha ilipendekeza kuwa Marcus hatapatikana kwa mechi chache, lakini anatarajiwa kurejea kwa msimu katika wiki za mwisho za msimu," ilisema taarifa ya manchester United

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
24m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’