Manchester City wanaongoza Real Madrid katika kinyang'anyiro cha kumnunua mchezaji wa Borussia Dortmund, Jude Bellingham baada ya Liverpool kujiondoa kwenye kinyang'anyiro cha kumsajili kiungo huyo wa kati wa Uingereza mwenye umri wa miaka 19. (ESPN)
..... download Xtra 90 App



