Real Madrid - Chelsea - Napoli - AC Milan - International

Real Madrid mguu mmoja ndani nusu fainali UEFA

Joel JJ By Joel JJ
β€’
13 Apr 2023
Real Madrid mguu mmoja ndani nusu fainali UEFA

Mabao ya Karim Benzema na Marco Asensio yaliihakikishia Real Madrid kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Chelsea katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani Ulaya uliopigwa Jumatano usiku

Ushindi huo umeiweka Real Madrid katika nafasi nzuri ya kutinga nusu fainali kwani watahitaji matokeo ya sare hata kufungwa sio zaidi ya bao moja

Pamoja na kipigo hicho, mkufunzi wa muda wa Chelsea Frank Lampard amesema wachezaji wake wataendelea kuwa na imani kuwa wanaweza kufanya kitu nyumbani

AC Milan ilipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Napoli katika mchezo mwingine wa robo fainali uliohusisha derby ya Italia

Timu hizo zitarudiana tena wiki ijayo kwenye uwanja wa Diego Maradona huko Napoli

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
34m ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
10h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
11h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
18h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
19h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
19h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
20h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’