Bayern Munich - International

Mane kikaangoni Bayern

Joel JJ By Joel JJ
β€’
13 Apr 2023
Mane kikaangoni Bayern

Mshambuliaji wa Bayern Munich raia wa Senegal Sadio Mane anatarajiwa kuomba msamaha katika mazoezi ya Bayern Munich hii leo

Ni baada ya kitendo cha kumpiga Leroy Sane baada ya kipigo cha mabao 3-0 dhidi ya Man City siku ya Jumanne kwenye robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya

Viongozi wa Bayern walikutana jana na kujadili tukio hilo ambalo wanaona limeichafua taswira ya klabu hiyo

Mabosi wa Bayern wanazingatia adhabu mbalimbali kwa Mane ikiwa ni pamoja na faini, kusimamishwa kazi au kuondoka katika majira ya joto

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’