Kocha Msaidizi wa Simba Juma Mgunda amesema maandalizi kuelekea mchezo wa ligi kuu dhidi ya Yanga ambao utapigwa Jumapili April 16 katika uwanja wa Benjamin Mkapa yanaendelea vizuri
..... download Xtra 90 App
Kocha Msaidizi wa Simba Juma Mgunda amesema maandalizi kuelekea mchezo wa ligi kuu dhidi ya Yanga ambao utapigwa Jumapili April 16 katika uwanja wa Benjamin Mkapa yanaendelea vizuri
..... download Xtra 90 App