Katika kuhakikisha timu yao inakuwa tayari kusaka ushindi kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya Yanga siku ya Jumapili (April 16), baadhi ya viongozi Klabu ya Simba SC kutoka kamati mbalimbali wamehamishia shughuli zao kambini ili kuwaongezea wachezaji wao hamasa
..... download Xtra 90 App



