Chelsea - International

Bosi Chelsea abishana na mashabiki baada ya kipigo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
16 Apr 2023
Bosi Chelsea abishana na mashabiki baada ya kipigo

Mmiliki wa Chelsea Todd Boehly alionekana akikabiliana na mashabiki wenye hasira katika uwanja wa Stamford Bridge baada ya timu yake kuchapwa mabao 2-1 dhidi ya Brighton.

The Blues walitoa uongozi wa mapema na kulala 2-1 dhidi ya Brighton wakiwa nyumbani kwenye Ligi ya Premia, na hivyo kuandikisha kupoteza kwao kwa mara ya 17 msimu huu

Matokeo hayo yameiacha Chelsea ikiwa nafasi ya 11 kwenye jedwali, licha ya kutumia rekodi ya pauni milioni 600 kwa msimu mmoja tangu Boehly alipochukua klabu hiyo.

Akiwa na huzuni kwenye jukwaa la watu mashuhuri, Boehly alionekana kwenye mazungumzo na mashabiki kutoka kwenye stendi iliyo juu baada ya filimbi ya mwisho

Baadaye, mfanyabiashara huyo alionekana akitembea kwenye uwanja wa Stamford Bridge huku ikidhaniwa kuwa alikuwa akielekea kwenye chumba cha kubadilishia nguo

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
5h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
5h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
6h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
9h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
12h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
13h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
14h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
14h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
15h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
16h ago
READ MORE β†’