KMC - Local

Julio anaamini KMC itabaki Ligi Kuu

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 Apr 2023
Julio anaamini KMC itabaki Ligi Kuu

Kocha Mkuu wa KMC,Jamhuri Khiwelu,  amesema kuwa ana matumaini makubwa ya kuongeza ari kwenye mechi ambazo zimebaki

Julio amechukua mikoba ya Hitimana Thiery ambaye alifikia makubaliano ya kuvunja mkataba na timu hiyo kutokana na mwendo mbovu

Mchezo wa mwisho kwa Hitimana kukaa benchi alishuhudia akipigwa mabao 2-1 na Geita Gold kwenye uwanja wa Uhuru

"KMC ni timu nzuri na nilikuwa ninaifuatilia kwenye mechi zake ambazo ilikuwa inacheza, nina amini kwamba itafanya vizuri kwenye mechi ambazo zimebaki"

"Tutapambana kupata matokeo mazuri ili kuhakikisha tunaendelea kubaki Ligi Kuu. Nafahamu KMC ni moja ya timu ambazo ziko vizuri kiuchumi najua suala la mishahara hapa sio tatizo "

"Jukumu langu ni kuwahamasisha hawa wachezaji watoe zaidi ya kile walichotoa katika mechi zilizopita, naamini hatuwezi kushuka daraja," alisema Julio

Tayari Julio ameanza mazoezi na timu hiyo inayojiandaa na mchezo dhidi ya Dodoma Jiji

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
27m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’