Yanga - Simba - Local

VAR kutumika robo fainali CAF

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Apr 2023
VAR kutumika robo fainali CAF

Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limethibitisha kutumika kwa teknolojia ya usaidizi wa waamuzi kwa njia ya video (VAR) katika mechi za robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa na kombe la Shirikisho barani Afrika

Klabu za Tanzania Simba na Yanga zitakuwa kwenye majukumu ya kupeperusha bendera ya nchi mwishoni mwa wiki hii kwenye mechi hizo za robo fainali

Jumamosi April 22 katika uwanja wa Benjamin Mkapa, saa 10 jioni Simba itawakabili mabingwa watetezi wa ligi ya mabingwa Wydad Athletic, VAR itatumika katika mchezo huu wa mkondo wa kwanza na pia itatumika katika mchezo wa mkondo wa pili utakaopigwa Morocco April 29

Jumapili April 23, Yanga itakuwa ugenini huko Nigeria kuikabili Rivers United katika mchezo wa mkondo wa kwanza kombe la Shirikisho, VAR pia itatumika

Mchezo wa marudiano utapigwa uwanja wa Benjamin Mkapa, April 30 ambapo teknolojia ya VAR pia itatumika

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
7h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
7h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
11h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
15h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
17h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’