Yanga - Local

Yanga kuifuata Rivers United Alhamisi

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Apr 2023
Yanga kuifuata Rivers United Alhamisi

Kikosi cha Yanga kitaondoka nchini Alhamisi kuelekea Nigeria kwa ajili ya mchezo wa mkondo wa kwanza robo fainali ya michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Rivers United

Mchezo huo utapigwa Jumapili, April 23 huko Nigeria katika uwanja wa Godswill Akpabio uliopo mji wa Uyo

Rivers United walitumia uwanja huo kwenye hatua ya makundi na baadae wakaomba kuruhusiwa kurejea kwenye uwanja wao wa Adokiye Amiesimaka huko Port Harcort ila Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limegomea mabadiliko hayo baada ya kufanyia ukaguzi uwanja huo na kubaini bado haukidhi vigezo

Yanga inasaka nafasi ya kutinga nusu fainali ya michuano hiyo, itahitaji ushindi au hata matokeo ya sare ugenini kabla ya mchezo wa marudiano utakaopigwa jijini Dar es salaam

Mchezo wa marudiano utapigwa uwanja wa Benjamin Mkapa, April 30 2023

More Stories

Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
27m ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
1h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
2h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
3h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
3h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
16h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
17h ago
READ MORE β†’
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
Clement Mzize arejea rasmi kikosini baada ya miezi sita nje kwa majeraha
22h ago
READ MORE β†’