Wakati Wydad Casablanca kutoka Morocco ikiwa imewasili tayari kwa mchezo wa mkondo wa kwanza robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika, Simba iko tayari na kamili kurudia ilichokifanya mwaka 2003 kwa kuwavua taji waliokuwa mabingwa wa Afrika, Zamalek ya Misri
..... download Xtra 90 App



