Coastal Union - Mtibwa Sugar - Local

Coastal Union yaichapa Mtibwa Sugar 1-0

Joel JJ By Joel JJ
β€’
23 Apr 2023
Coastal Union yaichapa Mtibwa Sugar 1-0

Coastal Union leo imetumia vyema uwanja wa Mkwakwani ikipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar katika mchezo wa ligi kuu ya NBC

Bao pekee la Coastal Union lilifungwa na kiungo Gustava Saimon

Ushindi huo umeiondoa Coastal Union katika eneo la play-off hadi nafasi ya 10 baada ya kufikisha alama 30

Presha inazidi kuongezeka upande wa Mtibwa Sugar wakiwa na alama 29 alama mbili juu ya play-off wakishuka hadi nafasi ya 11

Nayo Mbeya City imeendelea kubaki eneo la play-off baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar

Ally Nassor Idd alifunga bao pekee la Kagera Sugar ambao walicheza takribani dakika 45 wakiwa pungufu

More Stories

Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
45m ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
1h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
1h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
2h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
3h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
4h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
4h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
17h ago
READ MORE β†’
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
Hatimaye Yanga waonja uchungu wa red card baada ya Aziz Ki kuonyeshwa kadi nyekundu
18h ago
READ MORE β†’