James nje mechi zilizosalia Premia

Joel JJ By Joel JJ β€’ 25th April 2023


James nje mechi zilizosalia Premia

Beki wa Chelsea, Reece James atakosa mechi zote za Ligi Kuu England, baada ya kuumia misuli ya paja

Kocha wa timu hiyo, Frank Lampard amethibitisha hilo na kuongeza kuwa:"Pengine hawaatapatikana kwa msimu uliosalia"

Lampard amesema kiungo, Mason Mount naye ameumia lakini huenda akarudi msimu ukiwa umebaki mchezo mmoja

"Mason Mount uwezekano wa kuwa sawa mchezo wa mwisho wa msimu,"L alisema ampard


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.