Manchester City - Arsenal - International

Manchester City yaifumua Arsenal 4-1

Joel JJ By Joel JJ
β€’
27 Apr 2023
Manchester City yaifumua Arsenal 4-1

Baada ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya wapinzani wao wa mbio za ubingwa Arsenal, mkufunzi wa Manchester City Pep Guardiola amesema kuwa kikosi chake kimethibitisha kuwa kinaweza kufanikisha malengo pale wanapohitaji ushindi 

Kikosi cha Guardiola kiliwashinda viongozi Arsenal 4-1 kwenye Uwanja wa Etihad, na sasa wako nyuma kwa pointi mbili wakiwa na michezo miwili ya ziada

City wamebakisha mechi saba, wakianza na safari ya Jumapili dhidi ya Fulham kabla ya mechi za nyumbani dhidi ya West Ham na Leeds

"Hatuwezi kupoteza umakini wetu. Sasa iko mikononi mwetu," alisema Guardiola

Mabao ya Manchester City katika mchezo huo yalifungwa na Kelvin De Bruyne aliyefunga mawili, John Stones na Haaland aliyefikisha mabao 33 ya ligi

Haaland anahitaji kufunga bao moja tu kuifikia rekodi ya muda wote ya mabao katika msimu mmoja kwenye ligi inayoshikiliwa na Alan Shearer (mabao 34)

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
9h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
9h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
16h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
17h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’