Mbeya - Local

Mbeya City yaapa kupambana kubaki Ligi Kuu

Joel JJ By Joel JJ
27 Apr 2023
Mbeya City yaapa kupambana kubaki Ligi Kuu

Licha ya kupoteza mchezo wao uliopita dhidi ya Kagera Sugar, Mbeya City imepania kupambana ili kuhakikisha wanabaki ligi kuu

 Timu hiyo imekusanya pointi 27 baada ya kucheza mechi 27 ipo kwenye hatari ya kushuka daraja

Kocha Msaidizi wa Mbeya City, Anthony Mwamlima amesema kuwa bado wana mechi za kucheza na watafanyia kazi makosa ambayo yametokea.

"Kweli matokeo ambayo tunapata sio mazuri lakini bado hatujakata tamaa kwa kuwa kuna mechi za kucheza hizo tatu zilizobaki tukipambana tukipata matokeo tutaondoka hapa tulipo"

“Hakuna ambaye anapenda kuona hatushindi ila ni mpira na haya ni matokeo kwenye uwanja wa mazoezi tunakwenda kufanyia kazi makosa, mashabiki wazidi kuwa pamoja nasi," alisema

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
33m ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
45m ago
READ MORE →
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE →
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE →
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE →
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE →
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE →
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE →
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE →
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE →