Yanga - Local

Nabi aahidi ushindi dhidi ya Rivers United

Joel JJ By Joel JJ
β€’
29 Apr 2023
Nabi aahidi ushindi dhidi ya Rivers United

Mkufunzi wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema wamejipanga kuhakikisha wanashinda mchezo wa kesho ili kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF

Akizungumza na wanahabari leo Aprili 29, 2023 kocha huyo amesema pamoja na ushindi walioupata ugenini wiki iliyopita lakini wanapaswa kuwa makini katika mchezo huo ili kutimiza malengo yao

"Nimezungumza na wachezaji wangu kuhusu mchezo wa kesho dhidi ya Rivers United na nimewaeleza kuwa ushindi tulioupata Nigeria utakuwa hauna maana kama tutapoteza mchezo wa kesho tunapaswa kucheza kwa kujituma kama vile tulipoteza mchezo wa kwanza," alisema Nabi

Katika mchezo huo Yanga inahitaji ushindi ay sare tu ili kuweka rekodi yakuwa timu ya kwanza Tanzania kufika hatua hiyo kwenye michuano ya Caf

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
7h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
7h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
11h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
15h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
17h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’