Yanga - Local

Yanga yatinga nusu fainali Shirikisho

Joel JJ By Joel JJ
β€’
30 Apr 2023
Yanga yatinga nusu fainali Shirikisho

Mabingwa wa soka Tanzania Bara Yanga wamefanikiwa kutinga nusu fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kulazimishwa suluhu ya bila kufungana dhidi ya Rivers United katika mchezo uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa

Yanga imetinga nusu fainali kwa matokeo ya ushindi wa jumla wa mabao 2-0 waliopata kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa Nigeria

Yanga inaweka historia ya kuwa klabu ya kwanza Tanzania kutinga nusu fainali ya mashindano ya klabu yanayoandaliwa na CAF

Sasa watachuana na Malumo Galants ya Afrika Kusini mchezo wa kwanza ukitarajiwa kupigwa jijini Dar es salaam na marudiano kupigwa Afrika Kusini 

Kwa hakika ni ushindi wa heshima kwa Tanzania na ligi kuu ya NBC!

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’