Yanga - Local

Wababe wanne waliotinga nusu fainali Shirikisho CAF

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 May 2023
Wababe wanne waliotinga nusu fainali Shirikisho CAF

Yanga imeiwakilisha vyema Tanzania katika michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika ikiwa moja ya timu nne zilizotinga nusu fainali ya michuano hiyo

Suluhu na bila kufungana dhidi ya Rivers United jana imewavusha Wananchi kwenda nusu fainali kwa ushindi wa jumla wa mabao 2-0 waliopata katika mchezo wa mkondo wa kwanza uliopigwa Nigeria

Yanga imeungana na Asec Mimosas iliyopata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya US Monastir pamoja na Malumo Galants ya Afrikca Kusini iliyopata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pyramids ya Misri

Timu ya nne kutinga nusu fainali ni USM Alger ambayo licha ya kufungwa mabao 3-2 na US FAR ya Morocco, imefuzu kwa ushindi wa jumla wa mabao 5-4

Katika hatua ya nusu fainali, Yanga itachuana na Malumo Galants wakati Asec Mimosas itachuana na USM Alger

Mechi za nusu fainali zitappigwa May 10 na May 17, Yanga na Asec zikianzia mechi zao nyumbani

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’