Al Hilal - International

Machafuko yamkimbiza Ibenge Sudan

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 May 2023
Machafuko yamkimbiza Ibenge Sudan

Kocha wa Al-Hilal Sc Florent Ibenge amelazimika kuondoka Sudan ili kukwepa machafuko yanayoendelea kutokana na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe.

Kupitia Ubalozi wa Ufaransa, Florent Ibenge pamoja na familia yake walibahatika kupata nafasi kwenye msafara wa kwanza uliowahamisha raia wa kigeni kutoka Sudan.

Akizungumza na Shirika la habari la BBC, kocha huyo amesema;

"bado tuna wasiwasi hasa tukiwafikiria wengine wengi tuliowaacha Sudan, nawaza sana kuhusu wachezaji wangu,ninaongea nao kila siku"

"Wachezaji wote ambao sio raia wa Sudan wameshaondoka na sasa wanaelekea Misri.Wakifika nitawafuata, pamoja na wasaidizi wangu tutaweka kambi Cairo"

"Wachezaji ambao ni raia wa Sudan wanaweza kuamua kubaki kwao, ikibidi nitabadili muundo wa timu na wachezaji" alieleza Ibenge

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’