Simba - Local

Simba yapania kushinda mechi zote zilizosalia Ligi Kuu

Joel JJ By Joel JJ
β€’
2 May 2023
Simba yapania kushinda mechi zote zilizosalia Ligi Kuu

Kocha Msaidizi wa Simba, Juma Mgunda amesema mchezo wao dhidi ya Namungo FC, utakuwa mgumu, lakini wamewaandaa vizuri wachezaji wao kuhakikisha wanapata ushindi

Kocha huyo ameeleza kuwa malengo yao kwa sasa ni kuchukua pointi tatu katika kila mechi watakayocheza na watatumia uzoefu wa wachezaji wao ili kufanikisha malengo yao

"Mchezo utakuwa mgumu sababu Namungo wapo nyumbani kwao, lakini tumejipanga kushinda mchezo wa kesho na mingine iliyobaki, ili kujiweka katika mazingira mazuri ya kurudisha ubingwa wetu wa Ligi Kuu msimu huu,"amesema Mgunda.

Kocha huyo ameeleza kuwa baada ya timu yao kuondoshwa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Wydad Casablanca wiki iliyopita, kwa sasa timu hiyo imeweka nguvu zao kwenye mashindano ya ndani ambayo ni Ligi Kuu na Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC), ili kubeba mataji hayo msimu huu

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
21m ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
10h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
11h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
18h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
19h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
20h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’