Liverpool - Tottenham - International

Jota amuomba radhi Oliver Skipp

Joel JJ By Joel JJ
β€’
2 May 2023
Jota amuomba radhi Oliver Skipp

Picha iliyopigwa baada ya mechi kati ya Liverpool dhidi ya Tottenham Hotspurs katika uwanja wa Anfield, imeonyesha Diogo Jota akiomba msamaha kwa Oliver Skipp baada ya Liverpool kushinda 4-3 dhidi ya Tottenham.

Fowadi huyo wa The Reds alimfanyia rafu mbaya Skipp tukio ambalo liliibua mjadala baada ya Jota kuonyeshwa kadi ya njano wengi wakiamini alistahili kuonyeshwa kadi nyekundu

Skipp alimwaga damu baada ya changamoto hiyo, huku bosi wa muda wa Spurs Ryan Mason akiwa na hasira kwamba Jota hakutolewa nje kwa kadi nyekundu

Nyota huyo wa Liverpool alifunga bao la ushindi dakika za lala salama, licha ya Richarlison kufunga bao la kusawazisha hapo awali

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
31m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
43m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’