Geita Gold - Mbeya City - Local

Geita Gold yaipania Mbeya City

Joel JJ By Joel JJ
β€’
3 May 2023
Geita Gold yaipania Mbeya City

Baada ya kupoteza mchezo wa ligi kuu uliopita dhidi ya Prisons katika uwanja wao wa Nyankumbu, Geita Gold imepania kurejesha wimbi la ushindi katika mchezo unaofuata dhidi ya Mbeya City

Kocha msaidizi wa Geita Gold, Mathias Wandiba amesema hawakufurahishwa na kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Prisons na kwamba makosa yaliyojitokeza hawatarajii kujirudia kwenye mechi zilizobaki na kwamba hasira zote ni kwa Mbeya City

"Kwa ujumla matokeo hayo yalituumiza sana, ila haijirudii kwa sasa tunajipanga upya na mchezo ujao dhidi ya Mbeya City tukihitaji ushindi ili kuendelea kulinda nafasi yetu,” alisema Wandiba

Alisema wanaamini kwa maandalizi waliyonayo hawapoteza mchezo wowote ili kufikia malengo akiwaomba mashabiki kuendelea kuisapoti timu hiyo hadi mwisho wa ligi

Mchezo kati ya Geita Gold dhidi ya Mbeya City utapigwa May 13 katika uwanja wa Nyankumbu, Geita

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
5h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
5h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
5h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
9h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
12h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
13h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
14h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
14h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
15h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
16h ago
READ MORE β†’