Namungo - Simba - Local

Namungo Fc, Simba zatoshana nguvu

Joel JJ By Joel JJ
β€’
3 May 2023
Namungo Fc, Simba zatoshana nguvu

Mchezo wa ligi kuu kati ya Namungo Fc dhidi ya Simba uliopigwa uwanja wa Majaliwa, umemalizika kwa timu hizo kugawana pointi baada ya kutoka sare ya bao 1-1

Jean Baleke aliendeleza kasi yake ya kutupia mabao kwenye ligi akiitanguliza Simba kwa bao safi kwenye dakika ya 28 kabla ya Hassan Kabunda kuisawazishia Namungo Fc kwenye dakika ya 39

Ulikuwa mchezo ambao mabadiliko makubwa ya kikosi cha kwanza cha Simba yaliathirithi ufanisi wa wekundu wa Msimbazi ambao Kocha Robertinho Oliveira aliweka nyota wengi nje akisubiri mchezo wa nusu fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) dhidi ya Azam Fc siku ya Jumapili

Simba imefikisha alama 64 ikiendelea kusalia nafasi ya pili kwa tofauti ya alama nne dhidi ya Yanga ambayo kesho itacheza na Singida BS

Namungo Fc imesalia katika nafasi ya sita ikifikisha alama 36

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
7h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
7h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
11h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
15h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
16h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
17h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
18h ago
READ MORE β†’