Mshambuliaji wa Argentina Lionel Messi, 35, anaweza kumfuata hasimu wake Mreno Cristiano Ronaldo, 38, huko Saudi Arabia kwa uhamisho wa pauni milioni 320 kwa mwaka katika nchi ya Ghuba baada ya kuthibitisha kuwa anaondoka Paris St-Germain. (Telegraph)
..... download Xtra 90 App



