Klabu ya Yanga jana iliingia kwenye ushirikiano na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Saalam, Ofisi ya Afya ya Mkoa na UNICEF TCO katika jitihada za kuongeza uelewa kuhusu kuzuia na kudhibiti magonjwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu. Andre Mtine, Mtendaji Mkuu wa Yanga SC alisema hayo jana Mei 5, 2023 wakati akizungumza na waandishi wa habari
..... download Xtra 90 App



