Kocha Msaidizi wa Simba Juma Mgunda amesema anatambua maumivu ambayo Wanasimba wanapitia baada ya kushuhudia timu yao ikitokewa hatua ya nusu fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) kwa kufungwa mabao 2-1 na Azam Fc katika mchezo uliopigwa jana uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara
..... download Xtra 90 App



