Mshambulizi wa Argentina Lionel Messi, ambaye kandarasi yake na PSG inamalizika majira ya joto, bado hajafikia makubaliano ya kujiunga na klabu ya Al Hilal ya Saudi Arabia na mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 35 hatarajiwi kufanya uamuzi kuhusu mustakabali wake hadi mwisho wa msimu wa Ufaransa. tarehe 3 Juni. (Mundo Deportivo - kwa Kihispania)
..... download Xtra 90 App



