Wakati msimu wa mashindano 2022/23 ukiwa unaelekea ukingoni, Mtendaji Mkuu wa Simba Imani Kajula amesema wanatarajia kufanya maboresho makubwa ya kikosi ili kuhakikisha msimu ujao Simba inaweza kutimiza malengo yake katika mashindano yote ambayo itashiriki
..... download Xtra 90 App



