Inter - Milan - International

Inter Milan yaichapa AC Milan 2-0 nusu fainali UEFA

Joel JJ By Joel JJ
β€’
11 May 2023
Inter Milan yaichapa AC Milan 2-0 nusu fainali UEFA

Inter Milan imepata ushindi muhimu wa mabao 2-0 dhidi ya mpinzani wake mkali AC Milan katika mchezo wa mkondo wa kwanza nusu fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya (UEFA CL)

Mabao kutoka kwa Mkhitaryan na Dzeka yameisaidia Inter kupata ushindi unaowaweka katika nafasi nzuri ya kutinga fainali

Timu hizo zitarudiana tena wiki ijayo katika mchezo wa mkondo wa pili utakaopigwa hapo hapo kwenye uwanja wa San Siro

Ili kupindua matokeo AC Milan watahitaji ushindi wa kuanzia mabao matatu wakati Inter wao watahitaji sare au ushindi na hata wakipoteza kwa tofauti ya bao 1 watatinga fainali 

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’