Baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Marumo Gallants jana katika mchezo wa nusu fainali kombe la Shirikisho barani Afrika mkondo wa kwanza, Yanga imevuna Tsh Milioni 20 kutoka kwa bonas ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan
..... download Xtra 90 App



