Simba - Local

Simba yaipania Ruvu Shooting

Joel JJ By Joel JJ
β€’
11 May 2023
Simba yaipania Ruvu Shooting

Ijumaa May 12 Simba itashuka uwanja wa Azam Complex, Chamazi kuikabili Ruvu Shooting katika mchezo wa ligi kuu ya NBC

Nahodha wa Simba John Bocco amesema dhamira yao ni kuhakikisha wanashinda mechi zote tatu zilizosalia wakianza na mchezo dhidi ya Ruvu Shooting

Baada ya Simba kuondoshwa katika michuano ya ligi ya mabingwa na kombe la Shirikisho la Azam (ASFC), pia matumaini ya kushinda ubingwa wa Ligi Kuu ni kama hayapo lakini wachezaji wa timu hiyo wamesema lengo lao ni kuhakikisha wanatumia mechi zilizobaki kuwaomba radhi mashabiki wao

Wachezaji wote wa Simba walirejea mazoezini siku moja baada ya timu kutoka mkoani Mtwara na wote jana walishiriki mazoezi

Leo Simba itakamilisha maandalizi yake tayari kwa mchezo huo utakaopigwa majira ya saa 1 usiku

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
30m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
42m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’