Yanga - Local

Yanga yatwaa ubingwa Ligi Kuu

Joel JJ By Joel JJ
β€’
13 May 2023
Yanga yatwaa ubingwa Ligi Kuu

Yanga imetwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC kwa msimu wa pili mfululizo baada ya kuichapa Dodoma Jiji mabao 4-2 katika mchezo uliopigwa uwanja wa Azam Complex, Chamazi

Kennedy Musonda aliitanguliza Yanga kabla ya Dodoma Jiji kufunga mabao mawili kupitia kwa Collins Opare na Seif Karihe

Ilikuwa presha kuwa kwa Yanga baada ya kuwa nyuma kwa muda mwingi wa kipindi cha pili lakini wakatumia dakika 15 za mwisho kuonyesha kwa nini wametwaa ubingwa msimu huu

Mudathir Yahya aliyeingia kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Stephane Aziz Ki alikuwa shujaa wa Wananchi leo akifunga mabao mawili

Aliisawazishia Yanga bao la pili kabla ya Farid Mussa kufunga la tatu na Mudathir kuongeza la nne kwenye dakika za majeruhi

Alama 74 zimeihakikishia Yanga kutwaa ubingwa ikiwa na michezo miwili mkononi kwani Simba hata ikishinda mechi zilizosalia itafikisha alama 73

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
1h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
1h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
2h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
5h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
9h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
9h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
10h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
11h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
12h ago
READ MORE β†’