Mbeya - Geita - Local

Mbeya City yajitutumua mbele ya Geita Gold

Joel JJ By Joel JJ
β€’
13 May 2023
Mbeya City yajitutumua mbele ya Geita Gold

Mbeya City imeondoka kwenye eneo la play-off baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Geita Gold

Bao la George Sangija liliihakikishia Mbeya City kupata ushindi muhimu uwanja wa Nyankumbu huko Geita na kufikisha alama 30

Mbeya City wamepanda mpaka nafasi ya 12 wakiishusha KMC yenye alama 29 katika eneo la play-off

Ruvu Shooting imekuwa timu ya kwanza kushuka daraja huku Polisi Tanzania ikiwa katika hatari, alama 22 kwenye nafasi ya 15

Polisi Tanzania wanahitaji kushinda mechi zote tatu zilizobaki huku ikiomba wapinzani wake wasipate matokeo mazuri katika mechi zao

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
9h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
9h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
16h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
17h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’