Namungo - Azam - Prisons - Polisi - Mtibwa - Local

Prisons, Coastal zajiondoa eneo la hatari

Joel JJ By Joel JJ
β€’
15 May 2023
Prisons, Coastal zajiondoa eneo la hatari

Ligi Kuu ya NBC inaelekea ukingoni ambapo jana mechi tatu za raundi ya 28 zilipigwa huku raundi hiyo ikihitimishwa leo kwa mchezo kati ya Polisi Tanzania dhidi ya Mtibwa Sugar

Katika mechi zilizopigwa Jumapili, Tanzania Prisons ilijiweka kwenye eneo salama katika msimamo w aligi baada ya kuichapa Kagera Sugar bao 1-0

Prisons walifikisha alama 34 na kupanda mpaka nafasi ya nane katika msimamo

Coastal Union nayo ikapata ushindi muhimu wa bao 1-0 dhidi ya Ihefu Fc na kufikisha alama 33 ikisogea mpaka nafasi ya 10

Wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani, Azam Fc wakakumbana na kipigo wasichokitarajia kutoka kwa Namungo Fc

Mabao ya Hassan Kabunda na Shiza Kichuya yalitosha kuizamisha Azam Fc ambayo hata hivyo imeendelea kusalia katika nafasi ya tatu alama mbili mbele ya Singida BS

Hatma ya kubaki ligi kuu iko mikononi mwa Polisi Tanzania leo wakihitaji ushindi dhidi ya Mtibwa Sugar

Ili kuwa na nafasi ya angalau kucheza Play-off, Polisi Tanzania wanahitaji kushinda mechi zote tatu zilizobaki wakati Mtibwa Sugar nao wanahitaji ushindi ili waondoke kwenye eneo la play-off

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
5h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
5h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
5h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
9h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
12h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
13h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
13h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
14h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
15h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
16h ago
READ MORE β†’