Simba - Transfer - Local

Sakho aomba kuvunja mkataba Simba

Joel JJ By Joel JJ
β€’
15 May 2023
Sakho aomba kuvunja mkataba Simba

Kiungo mshambuliaji wa Simba Pape Ousmane Sakho ameomba kuvunja mkataba na Wekundu hao wa Msimbazi, imefahamika

Wawakilishi wa mchezaji huyo wamedai kutoridhishwa na kukosekana kwa muda wa kucheza kwa mteja wao ndani ya Simba, wakiamini Msenegal huyo anastahili muda zaidi wa kucheza.

Kulingana na Mwanahabari jr_farhanjr, Wawakilishi wa Sakho wamewasilisha ofa kadhaa za mteja wao kwa Simba ambazo zitakuwa na maslahi kwa Simba kiuchumi ili Sakho aweze kuondoka kusaka changamoto mpya

Tayari Sakho ameandika barua ya kuvunja mkataba baada ya mechi dhidi ya Ruvu Shooting huku mkataba wake ukitaka alipe mshahara wa miezi mitatu tu ili mkataba uvunjike, mkataba wake ulikuwa miaka mitatu na ameshacheza miwili

Kumekuwa na taarifa kuwa nyota kadhaa wa klabu ya Simba wameomba kuruhusiwa kuondoka mwishoni mwa msimu. Beki Mkenya Joash Onyango ni miongoni mwa wachezaji hao

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’