Manchester United kuachana na Jones

Joel JJ By Joel JJ β€’ 16th May 2023


Manchester United kuachana na Jones

Manchester United inatarajiwa kumpa mkono wa kwaheri mlinzi Phil Jones ambaye atakuwa huru kuondoka klabuni hapo mwisho wa msimu huu mkataba wake utakapofikia tamati

Jones (31) raia wa England anatarajiwa kuondoka klabuni hapo baada ya kudumu kwa takribani miaka 12 tangu alipojiunga na Mashetani hao Wekundu mnamo Julai 2011 akitokea Blackburn Rovers

Jones hajafanikiwa kupata nafasi kwenye kikosi cha kocha Erik Ten Hag


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.