Manchester United inatarajiwa kumpa mkono wa kwaheri mlinzi Phil Jones ambaye atakuwa huru kuondoka klabuni hapo mwisho wa msimu huu mkataba wake utakapofikia tamati
Jones (31) raia wa England anatarajiwa kuondoka klabuni hapo baada ya kudumu kwa takribani miaka 12 tangu alipojiunga na Mashetani hao Wekundu mnamo Julai 2011 akitokea Blackburn Rovers
Jones hajafanikiwa kupata nafasi kwenye kikosi cha kocha Erik Ten Hag



