Yanga yatinga fainali Shirikisho CAF kibabe

Joel JJ By Joel JJ β€’ 17th May 2023


Yanga yatinga fainali Shirikisho CAF kibabe

Yanga imeandika historia kwa kutinga fainali ya michuano ya kombe la Shirikisho kibabe sana baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Marumo Gallants huko Afrika Kusini

Ni ushindi wa jumla wa mabao 4-1 baada ya ushindi wa mabao 2-0 nyumbani

Mabao ya Fiston Mayele na Kennedy Musonda yameihakikishia Yanga ushindi muhimu ugenini unaoipeleka fainali huku ikivunja rekodi ya Marumo kutofungwa katika uwanja wao wa nyumbani katika michuano hiyo

Yanga inamsubiri mshindi wa mchezo kati ya USM Alger dhidi ya Asec Mimosas

Wananchiiiiiiiiiii fainali hiyooooooooo..


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.