Yanga - Local

Yanga yatinga fainali Shirikisho CAF kibabe

Joel JJ By Joel JJ
β€’
17 May 2023
Yanga yatinga fainali Shirikisho CAF kibabe

Yanga imeandika historia kwa kutinga fainali ya michuano ya kombe la Shirikisho kibabe sana baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Marumo Gallants huko Afrika Kusini

Ni ushindi wa jumla wa mabao 4-1 baada ya ushindi wa mabao 2-0 nyumbani

Mabao ya Fiston Mayele na Kennedy Musonda yameihakikishia Yanga ushindi muhimu ugenini unaoipeleka fainali huku ikivunja rekodi ya Marumo kutofungwa katika uwanja wao wa nyumbani katika michuano hiyo

Yanga inamsubiri mshindi wa mchezo kati ya USM Alger dhidi ya Asec Mimosas

Wananchiiiiiiiiiii fainali hiyooooooooo..

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’