Rais Dk Samia Suluhu ametangaza kuipa timu ya Yanga sh milioni 20 kwa kila goli itakayofunga kwenye mchezo wa fainali dhidi ya timu ya USM Alger itakayochezwa Mei 28, 2023 kwenye uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam na mchezo wa marudio utafanyika nchini Algeria Juni 3, 2023
..... download Xtra 90 App



