Mlinda lango namba moja wa Simba na timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Aishi Manula anatarajiwa kupelekwa Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu zaidi baada ya kuumia akiwa kwenye majukumu na klabu yake
..... download Xtra 90 App
Mlinda lango namba moja wa Simba na timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Aishi Manula anatarajiwa kupelekwa Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu zaidi baada ya kuumia akiwa kwenye majukumu na klabu yake
..... download Xtra 90 App