Simba - Local

Al Ahly yatangulia fainali Ligi ya Mabingwa Afrika

Joel JJ By Joel JJ
β€’
20 May 2023
Al Ahly yatangulia fainali Ligi ya Mabingwa Afrika

Klabu ya Al Ahly ya Misri imetinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Esperance katika mchezo wa mkondo wa nusu fainali mkondo wa pili uliopigwa Misri

Al Ahly imetinga fainali kwa ushindi wa jumla wa mabao 4-0, wakishinda mabao 3-0 katika mchezo wa kwanza uliopigwa Tunisia

Mabingwa hao wa kihistoria michuano ya Ligi ya Mabingwa wanamsubiri mshindi wa mchezo kati ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco

Baada ya kulazimisha suluhu ya bila kufungana nchini Morocco Sundowns wanahitaji ushindi leo ili kutinga fainali

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’